LULU ASIMULIA JINSI MIDUME INAVYOMPAPATIKIA USIKU MCHANA...!!

MSANII wa filamu nchini Tanzania Elizabeth Michael, maarufu kwa jina la (Lulu) ameonyesha kufurahishwa na tukio la wanaume wengi wenye pesa nyingi kumtongoza na kumtaka kimapenzi kila kukicha..

Akizungumza  na  mpekuzi  wetu,Lulu alisema kwamba pamoja na kwamba wanaume wengi wa kila aina na wenye pesa nyingi  wanamtongoza kila siku,  lakini pia anafurahia kupendwa na kwamba anapogundua kwamba anapendwa huwa anajisikia raha na mwenye rufaha zaidi.

"Ninatongozwa  sana  kila  siku  na  wanaume, tena  wenye  pesa  zao.Binafsi  nafurahi   sana  kupendwa  na  ninapogundua  kwamba  mtu  flani  ananipenda  huwa  najisikia  faraja  sana..

"Kutongozwa  kwa  mwanamke  yeyote  mzuri  ni  jambo  la  kawaida.Kukubali  au  kukataa  ombi  la  mwanaume ni  maamuzi  ya  mtu  binafsi. Mpekuzi  naomba  usiniulize  ni  wangapi  nimewakubali  au   kuwakataa  
( huku  akicheka ) 

Akifunguka zaidi kuhusu bahati  hiyo , Lulu   alidai  kuwa hali ya  kutongozwa sana   iliongezeka  baada  ya  yeye  kutoka  gerezani...

"Niliporejea uraiani,  kasi ya kutongozwa ilizidi sana  tofauti  na  nilivyokuwa  nadhani