YOUNG DEE AKANUSHA SKENDO YA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA

Msanii Young Dee amekanusha uvumi ulioenea mitaani kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na kusema kuwa pamoja na story hizo kuwa kubwa lakini hali hiyo haijamuathiri sana kwasababu hazina ukweli wowote. “Ni story ambazo zimekuwa kubwa sana lakini hazijaniathiri sana kwasababu sio ukweli, lakini zimenifanya nimezidi kuwa makini sana kuwa muoga pia na vitu vingi sana kuangalia watu wanaonizunguka, mazingira na vitu kama hivyo”. Alisema...

LEO PATAKUWA HAPATOSHI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR!! NANI ATAMPAKATA MWENZAKE?..

Watani wa jadi nchini Simba na Yanga leo jioni wanashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kupambana katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, huku Simba ikiwa na rekodi nzuri ya kuifunga Yanga mabao 5. Kila upande umekuwa ukitamba kuibuka na ushindi l...

MWANAMKE MWATHIRA WA UKIMWI ATIWA MBARONI KWA KOSA LA KUMNYONYESHA MAZIWA MTOTO WA JIRANI YAKE MAKUSUDI

MWANAMKE   mmoja raia wa Zimbabwe aliyenyonyesha mtoto wa jirani bila ruhusa anakabiliwa na kifungo cha karibu miaka miwili kwa kumwambukiza mtu  HIV kwa  kukusudia kwa  kuwa  yeye  ni  mwathirika. Annie Mpariwa, 39, alifikishwa mbele ya mahakama ya Gaborone  wiki iliyopita  na kesi hiyo iliahirishwa hadi Oktoba 24 kuruhusu kipimo cha pili cha HIV kufanyiwa mtoto huyo.   Matokeo...

NILIINGIA KWENYE MUZIKI KWA KUFUATA MKUMBO: SALMA JABU NISHA

Actress maarufu nchini Salma Jabu(Nisha) amesema kuwa aliingia katika muziki wa Bongofleva kwa kufuata mkumbo baada ya kuwaona waigizaji wenzake wengi wakiingia katika muziki na yeye ndiyo akajitumbukiza na matakeo yake kukaa sana kimya na kupotea katika fani hiyo. Nisha amesema kuwa hatathubutu tena kufuata mkumbo kwenye fani nyingine bali yeye ameamua kujikita zaidi kwenye fani yake ya filamu. Akizungumza na Gpl star huyo wa filamu za...