
Msanii Young Dee amekanusha uvumi
ulioenea mitaani kuwa anajihusisha na matumizi ya dawa za kulevya na
kusema kuwa pamoja na story hizo kuwa kubwa lakini hali hiyo
haijamuathiri sana kwasababu hazina ukweli wowote.
“Ni story ambazo zimekuwa kubwa sana
lakini hazijaniathiri sana kwasababu sio ukweli, lakini zimenifanya
nimezidi kuwa makini sana kuwa muoga pia na vitu vingi sana kuangalia
watu wanaonizunguka, mazingira na vitu kama hivyo”.
Alisema...