LEO PATAKUWA HAPATOSHI UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR!! NANI ATAMPAKATA MWENZAKE?..

Watani wa jadi nchini Simba na Yanga leo jioni wanashuka katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kupambana katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom
Tanzania Bara, huku Simba ikiwa na rekodi nzuri ya kuifunga Yanga mabao 5.

Kila upande umekuwa ukitamba kuibuka na ushindi leo