Gari aina ya Brabus ambayo inayomilikiwa na mmiliki wa klabu ya Manchester City ya England, imeonekana leo Dar es Salaam, lakini ni mali ya Yussuf Bakhresa, mtoto wa bilionea Mtanzania, Alhaj Sheikh Said Salim Awadh Bakhresa. Vyanzo vimesema Yussuf alitoa oda maalum kutengenezewa gari hili na thamani yake jumla si chini ya dola za Kimarekani 500,000.
Hii hapa mali ya Yussuf Bakhresa
Huyu jamaa ndiye anayeendesha gari la hili la mtoto wa Bakhresa
Angalia alivyotulia ndani ya mzigo wa dola 500,000
Ni oda maalum kwa ajili ya Yussuf Bakhresa
Kutoka Manchester hadi Dar es Salaam