Gazeti la Globo Esporte la nchini Brazil limelikisha picha za jezi zinazotaraji kutumika kwenye fainali za kombe la dunia zitakazofanyika nchini Brazil mwakani.
Picha za jezi hiyo ambayo itatengenezwa na Nike zilitaraji kuzinduliwa mwezi Novemba mwaka huu.